GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,570
- 108,911
Dr. Charles Kimei hasa yule wa kati ya mwaka 2005 hadi mwaka 2015 na ambaye hata Mimi GENTAMYCINE nilikuwa namkuabali sana alikuwa mwenye Sifa zifuatazo:
Dr. Charles Kimei huyu wa kati ya mwaka 2015 hadi huu wa 2018 na ' hasa hasa ' huyu niliyemkodolea / niliyemtizama leo akitiririka na kuserereka kutokea Kanda ya Ziwa kiukweli amenitisha kama pia siyo kunisikitisha hasa kwa jinsi alivyokuwa. Kimei wa leo alikuwa:
Nawasilisha.
- Makini
- Anajiamini
- Hayumbishwi
- Hatishwi
- Jeuri wa Kitaaluma na Kiuweledi
- Mchangamfu
- Amejawa mipango tupu ya Kimaendeleo
Dr. Charles Kimei huyu wa kati ya mwaka 2015 hadi huu wa 2018 na ' hasa hasa ' huyu niliyemkodolea / niliyemtizama leo akitiririka na kuserereka kutokea Kanda ya Ziwa kiukweli amenitisha kama pia siyo kunisikitisha hasa kwa jinsi alivyokuwa. Kimei wa leo alikuwa:
- Anaongea huku muda mwingi akijitetea
- Anasifu mno hata pale ambapo Sifa hazikustahili
- Anafumba na kufichaficha sana mambo
- Anaongea kwa Uwoga huku muda mwingi akitetemeka
- Zungumza yake muda mwingi ilikuwa ni ya Kutunga matukio tupu
- Ni mwenye kutia huruma kama siyo simanzi sana
- Alikuwa analazimisha mno kuaminika Kimaelezo hasa kwa yule aliyekuwa akimuelezea
Nawasilisha.