democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
Sio uwongo huo ndo ukweli mtupu, hata mkiukataa utabaki hivo hivo, CHADEMA ni chama cha kikristo tena kikiwa na mrengo wa kikatoliki (makafiri wakubwa). Huhitaji elimu ya chuo kikuu kulijuwa hilo, sera zao zinatoka kwa kadinali Pengo, hata hapa JF wanaokisapoti ni wakristo, na katibu mkuu wa chadema ni PADRI MUASI
uwafikishie hiyo taarifa z.zuberi kabwe,mwanazuoni wa kiislam prof ;Abdallah safari au Said Arfi huenda nao hawalijui hili.