mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Taarifa toka Zanzibar ni kwamba Chama cha Wananachi (CUF), kilishindwa kulinyakua jimbo la Uzini kutokana na kuwa na wakristo wengi na watu wa bara. Haya ni madai ya Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Zanzibar, Ismail Jussa Ladhu. Je hii ina maana kuwa huyu ********* mwenzake aliyechaguliwa ni mtu wa bara na mkristo?
Kwa habari zaidi Bonyeza hapa.
Kwa habari zaidi Bonyeza hapa.