drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
Wakuu nipo kwenye daladala laa gmboto limejaza gafla ugomvi unaanza kati ya mama wa umri wa kati na mwanaume mwanake anampiga huyu mwanaume tulipo hoji mwanake anaonyesha baibui lake lilivyochafuliwa na huyu mwanaume yy anaishia kusema samahani dada yangu nimepitiwa suruali nae imechafuka vibaya hii ni ugonjwa au ni nini wanajf hii naishudia live hapa