Hivi huu ni uroho au?

drphone

JF-Expert Member
Sep 29, 2009
3,542
281
Wakuu nipo kwenye daladala laa gmboto limejaza gafla ugomvi unaanza kati ya mama wa umri wa kati na mwanaume mwanake anampiga huyu mwanaume tulipo hoji mwanake anaonyesha baibui lake lilivyochafuliwa na huyu mwanaume yy anaishia kusema samahani dada yangu nimepitiwa suruali nae imechafuka vibaya hii ni ugonjwa au ni nini wanajf hii naishudia live hapa
 
Nafikiri hayo ni matatizo ya akili..kufikri ngono kila wakati
 
Wakuu nipo kwenye daladala laa gmboto limejaza gafla ugomvi unaanza kati ya mama wa umri wa kati na mwanaume mwanake anampiga huyu mwanaume tulipo hoji mwanake anaonyesha baibui lake lilivyochafuliwa na huyu mwanaume yy anaishia kusema samahani dada yangu nimepitiwa suruali nae imechafuka vibaya hii ni ugonjwa au ni nini wanajf hii naishudia live hapa

Huo ni ugonjwa kweli. Watu kama hao inabidi watengwe na jamii hadi wapone. Mmoja alishawahi mchafua mtoto wa shule aliyevaa skirt ya blue(primary). Aibu!!!!!!
 
Nafikiri hayo ni matatizo ya akili..kufikri ngono kila wakati

nakubaliana na ww mkuu mana kwa akili za kawaida aiwezekani mwanamke kavaa vazi lake tena la heshima ww tayari unaharibikiwa hoi taabani
 
Huo ni ugonjwa kweli. Watu kama hao inabidi watengwe na jamii hadi wapone. Mmoja alishawahi mchafua mtoto wa shule aliyevaa skirt ya blue(primary). Aibu!!!!!!

du yani watengwe chini ya ulinzi mkali mana ni hatarikwa jamii
 
Aina hii wakikupatia sawa kichakani watakubaka tu. Loh tuombe Mungu atunusuru na watoto wetu na ndugu zetu. Aibu gani hii!
 
Niliwahi shuhudia live ni aibu sana jamaa alinyamaza kama kaloa na mvua

na mm nimeona live jinsi yule dada alivyohamaki nakumpiga ngumi tulijua jamaa alikuwaa anamwibia ata yy alijua ivyo nipale jamaa alivyokuwa hoi jasho linamtoka nguvu ana alichooweza kusema nisamehe dada wa watu kujigusa anakuta uchafu kibao
 
Aina hii wakikupatia sawa kichakani watakubaka tu. Loh tuombe Mungu atunusuru na watoto wetu na ndugu zetu. Aibu gani hii!

yani bora ukutane na simba kichakani kuliko huyu binadamu hivi hyu akimwona dada yake kakaa vbaya atafanyaje?
 
mmhhh hii ni kali.....hao watu wapo sana
mkuu nilikuwaga siamini nasikiaga tu mpaka nilipoona live kibaya zaidi kutokana na zogo sikupata ata mda wakumwoji jamaa japo swali 1 mana hali ya hewa ilibadilika akashuka fasta kwa usalama
 
kuna watu wana mawazo duni. Kuwatenga hawa itasaidia nini? They just need to see a psychologist! Kazi kwisha...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom