Hivi huu mchezo bado upo?

ukuti ukuti wa meme
mwenzetu mwenzetu kagongwa kagongwa
na nini na nini na gari na gari
 
Mafulugalaa mafulagalaa....alelalela koombaa.., bibii kanya bwela, tumbo , kamsokota katumbaku bwila!!
 
Siku hizi sioni kabsa watoto wakicheza hii kitu, hata komborea a.k.a hide n seek.
Watoto wa kipindi hiki wanakosa mambo mengi sana

Watoto wa katuni + play station
 
Ukichanganya michezo yote hiyo ya utotoni na mfumo wa maisha tulipotea ndio maana bongo za kizazi hicho zilikuwa safi katika umeri mdogo yaani mtu ana miaka 8 anatumwa mjini kununua vitu na anarudi bila wasiwasi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…