Hivi humu hamna Jukwaa la Uislamu?

Hivi humu hamna Jukwaa la Uislamu?

Hapo umeshainjika kila kitu tumboni kachori viazi mbatata viazi mviringo viazi vitamu sasa mwili ume-react vinahamia kichwani kwa kasi hadi vimekuondolea uwezo wa kufikiri sawa sawa.

Jukwaa la uislam kawaulize bakwata.
Aisee nkmecheka😄
 
Kawaida yenu

Watu wa kijitengenezea ubinafsi wenu kwa kudhan nyie ndio wa muhimu, kwa lipi labda.

Hii dunia tunategemeana na kwa bahati mbaya JF sio qatar, jf is jf.

Rubbish taka taka
Mawazo hauajazuia dini nyingine pia kua n ajukwaa lao, sikumaanisha liwe jukwaa la uislamu pekee, jamaa mbona huna akili??
 
Nyie ndo mnafanya sisi sote tuonekane vilaza hatuna elimu. Kama mnataka jukwaa la kiislamu anzisheni group lenu. Kuna Jukwaa la Dini halitoshi sheikh wangu ubwabwa? Kesho mtataka na JF ya Kiislamu kobaz mwenzangu.
Sasa shida iko wapi? Mtu kupata elimu ya dini yake specifically kupitia JF??
 
Hapo umeshainjika kila kitu tumboni kachori viazi mbatata viazi mviringo viazi vitamu sasa mwili ume-react vinahamia kichwani kwa kasi hadi vimekuondolea uwezo wa kufikiri sawa sawa.

Jukwaa la uislam kawaulize bakwata.
Ni opinion yako , mawazo ya mtu yaheshimiwe

Nielekeze ofisi za BAKWATA
 
Nyie ndo mnafanya sisi sote tuonekane vilaza hatuna elimu. Kama mnataka jukwaa la kiislamu anzisheni group lenu. Kuna Jukwaa la Dini halitoshi sheikh wangu ubwabwa? Kesho mtataka na JF ya Kiislamu kobaz mwenzangu.
Kwahiyo brother kwa akili yako unahisi ni sawa kufata habari specifically alaf unakutana na habari nyingine?

Jukwaa la Dini (It means all included)
 
Hapo umeshainjika kila kitu tumboni kachori viazi mbatata viazi mviringo viazi vitamu sasa mwili ume-react vinahamia kichwani kwa kasi hadi vimekuondolea uwezo wa kufikiri sawa sawa.

Jukwaa la uislam kawaulize bakwata.
2Q + 2Q = You
 
Kuna siku unaingia habari na hoja mchanganyiko page nzima imejaa mada za dini mwanzo mwisho. Mpaka unajiuliza hivi hatuna haja nyingine za kujadili zaidi ya dini? Where are great thinkers of JF? Inaboa kwa kweli
Itafikia kipindi (Wakati ambao ushachelewa) ndio utajua na kugundua umuhimu wa dini kwenye maisha yako kuliko hayo mambo mengine ambayo unayapa kipaumbele
 
Sasa shida iko wapi? Mtu kupata elimu ya dini yake specifically kupitia JF??

Ndo maana lipo Jukwaa la Dini wewe hujaliona? Na mimi ni mmoja ya watu ambao tunatoa Ilimu ya Dini ya Kiislamu karibia kila siku. Na nlishasema role model wangu ni Muhamad. Yaani tabia zangu ni kama pacha wake kabisa.
 
Hapo umeshainjika kila kitu tumboni kachori viazi mbatata viazi mviringo viazi vitamu sasa mwili ume-react vinahamia kichwani kwa kasi hadi vimekuondolea uwezo wa kufikiri sawa sawa.

Jukwaa la uislam kawaulize bakwata.
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom