Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,288
- 18,572
Mwandiko wako una'vaibreti' hata sijaelewa.
Kwenye idara kuuunaomba majibu yetu uyapeleke wapi??
Humu wanaume wengi wapo serious ila wanawake wenyewe ndio hawapo serious wanataka watuchune halafu watuchezeshe danadana kisha watupige kibuti.Yani unakuta mtu ni yupo serious na wanaomfuata nikumfukuzia tu wamchezee au wapate mtu wakumpa kampani ya temporary
Poa mnanibania ukweli mnadai mada haielewekinaona nimeshiba sana ugali...wacha nilale sasa maana ata sielewi na mada yenyewe
Kama mnacheza na hisia zetu kwa wale ambao tupo serious
Rudi nyumbaniBabe...
Ahsante kwa kunielewesha.Yani unakuta mtu ni yupo serious na wanaomfuata nikumfukuzia tu wamchezee au wapate mtu wakumpa kampani ya temporary
Stephen Chelu samahani mkuu kuna herufi zinadondoka kutokana na hii vibration ila tutafix soon.Mwandiko wako una'vaibreti' hata sijaelewa.
sijaelewa sijui ni hizi Serengeti lite...
Comment yako hii nimegundua sio jinsia mkePoa mnanibania ukweli mnadai mada haieleweki
Hapa ndipo panapowafelisha.Tatizo hamuweki picha
😀 😀 😀 😀Stephen Chelu samahani mkuu kuna herufi zinadondoka kutokana na hii vibration ila tutafix soon.
alisikika mod akiropoka
Haya sawa usijaliComment yako hii nimegundua sio jinsia mke