Salaam kwenu wanaume masingle. Hivi mtu mwanamke anapotoa post kutafuta mme mnaaminigi?
Eti mnajuaga kuwa labda wapo serious na uhusiano au ndio mnakuwaga mnachezaga tu na hisia zao?
Chambueni hili suala watu waelewe.
Kwanza unamuonaje?
Tuambiazane
Eti mnajuaga kuwa labda wapo serious na uhusiano au ndio mnakuwaga mnachezaga tu na hisia zao?
Chambueni hili suala watu waelewe.
Kwanza unamuonaje?
Tuambiazane