Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wanajamvi,
Wakuu nisaidie jinsi ya kulipa hizi faini za.mashine tunazopewa barabarani na trafic, nina kijikaratasi hapa cha fine ila nashindwa kulipa
Msaada please
Nimejaribu, nakwama kwenye reference number na jina la kampuni inayokuja ni TALAIngia tigopesa kisha nenda lipia bili, then chagua ingiza namba ya kampuni ambayo ipo kwenye hicho kikaratasi then ufuate maelekezo mengine
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
nenda kwa wakala wa nmb benk kalipeHabari wanajamvi,
Wakuu nisaidie jinsi ya kulipa hizi faini za.mashine tunazopewa barabarani na trafic, nina kijikaratasi hapa cha fine ila nashindwa kulipa
Msaada please
Unaweza lipia bank ya nmb au kwa wakala yoyote ambae anauwakala wa nmb cha msingi uwe na ref no au nenda na kirisitiHabari wanajamvi,
Wakuu nisaidie jinsi ya kulipa hizi faini za.mashine tunazopewa barabarani na trafic, nina kijikaratasi hapa cha fine ila nashindwa kulipa
Msaada please
U cant be seriousIngia tigopesa kisha nenda lipia bili, then chagua ingiza namba ya kampuni ambayo ipo kwenye hicho kikaratasi then ufuate maelekezo mengine
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
nenda kwa wakala wa nmb benk kalipe
knowledge is power. learn how to do it.U cant be serious