Hivi hili ni la kweli kuhusu wahitimu wa mzumbe university?

Sio kufeli tu, hapa udom kuna walimu-tutorial assistants wawili from Mzumbe-wamefeli kamanda na kibarua ndo kimeota mbawa, maana ilibidi waachishwe kazi. Nomaaaa! Na kuna underground movement kwa uongozi kuacha kuchukua candidates from Mzumbe kwa kazi ya kufundisha. It appears wanafaulu sana lakini hawajui kukitoa wakijuacho kwa wanafunzi..........na ugumu na utata ndo unapoanzia hapo!

Marks vihiyo mzumbe ni nyingi,ukijumlisha na zile marks za chupi kwa wadada,tupe ufunuo zaidi ndyoko hao waliofeli ni wadada au? Itanisaidia kuverify data zangu
 
Zamani kabisa nilivyokuwa level za chini,niliamini sana ya kwamba vyuo vikuu ukifika ndio kila kitu,...yaani walimu bora,facilities mblmbl lakini kudri muda unavyosonga mbele naamini ya kwamba Tanzania hakuna vyuo bora ambavyo vinaweza kukuandaa wewe kama graduate ili baadae uweze kuwa competent unapokwenda kufanya kazi...haswa haswa abroad.vyuo ving vya bongo bado wanatoa elimu ya kubabaisha tu,mm nilijua tatizo ni kwetu...lok kumbe bongo yote inanuka...Hata hao vizabizabina wakina SENETOR wanakifanyia mapambio UDSM kote huku hakuna kitu.kila rafiki nikijaribu kuongea nao kuhusu vyuo vyao na mustakabali wa elimu wanayoipata kwa siku za baadae,wote wanalalamika na mwisho kukiri na kusema "BORA TUGRADUATE,ELIMU SIO BONGO" BONGO NI UBABAISHAJI TU.
Bongo hakuna chuo bora,vyuo vyote vya bongo=secondary school.
UDSM CHUO JINA KUBWA LAKINI HAKUNA ELIMU HAPO,ZAIDI YA VIJANA KUKUA NA KUONGEZA TAKWIMU ZA WANASIASA YA KWAMBA TANZANIA TUNAWOSOMI

mkuu kwa hiyo unathibitisha kuwa tatizo hili lipo mzumbe tufunge thread au tujadili chanzo
 
Tuache unatani vyuo vyote Tanzania bado sana. Watu wanalishwa pumba tu, carriculum haziko up todate, watu wafundishwa mambo ambayo hayaendani na soko la ajira mtaani. Mimi nimeshuhudia graduate wa statistics UDSM hajui hata kutumia SPSS. Tunabaki kusifia tu or UD, mara SUA sijui passmark iko juu, mara Mzumbe shule yao fake. Mara Udom chuo cha kata. Haina maana kama passmark yako iko juu wala chini wakati watu wanafundishwa pumba tu, dunia ya sasa mambo yamebadilika sana. Vyuo viko busy vinandaa wanasiasa wala si watendaji.
 
How about udom?mbona ukisoma job advert nyingi zimemeandikwa qualified applicants from any university but not udom.
 
Mtasema sana kuhusu Mzumbe na kujaza magunia ya threads lakini katika performance kwenye labour market hususan ktk fani za business management [accounting, marketing, human resources] hamna chuo chochote hapa TZ kinachoweza ku compete na MU. Hilo halina mjadala
 
Sio kufeli tu, hapa udom kuna walimu-tutorial assistants wawili from Mzumbe-wamefeli kamanda na kibarua ndo kimeota mbawa, maana ilibidi waachishwe kazi. Nomaaaa! Na kuna underground movement kwa uongozi kuacha kuchukua candidates from Mzumbe kwa kazi ya kufundisha. It appears wanafaulu sana lakini hawajui kukitoa wakijuacho kwa wanafunzi..........na ugumu na utata ndo unapoanzia hapo!

Mambo mengine ni magumu sana hasa mtu unapokuja na hoja (haijafanyiwa tafiti) kimsingi utakuwa unawalisha watu sumu. Mzumbe inayozungumzwa na mtoa mada hapa inawezekana ni ile anayoifahamu yeye, na kwa mtazamo wangu hoja hii imebebwa na samaki mmoja akioza wote wameoza, mathalani chukulia hoja ya UDOM kwa graduate wa MZUMBE kushindwa kumaliza masters zao na mbaya zaidi ni Tutorial Assistants wa mzumbe university kiukweli inatisha, ingawa inabidi iangaliwe kwa mapana yake yote.
 
Kuna watu wamekuwa wakiiponda MU kuanzia wakiwa vijana mpaka wanazeeka lakini bado ubora wa MU uko palepale. Nenda kaangalie hata competition ya ku join. Huwezi kwenda pale na vi credit vya mawazo
 
mkuu kwa hiyo unathibitisha kuwa tatizo hili lipo mzumbe tufunge thread au tujadili chanzo

Mimi kama siwezi moja kwa moja nikasema kwamba MU hakuna weakness,kitu ambacho napinga ni hli swala la huyu KILAZA SENETOR kubet kwa UDSM ndio kila kitu!!
Kwa data za senetor ni kukivunjia heshima chuo cha mzumbe,kwanza kwa mtu mwenye akili timamu hawezi akafanya equal comparison kati ya Udsm na MU,Kwanza unapaswa kujua MU na UDSM lini vimeanzisha??halafu unapaswa kufanya tathmini ya kile unachotaka kufanya!!sio ku-generalize mambo tu kama VILAZA ambao munatoa -ve perception kwa MU.
MU ni chuo ambacho kinajitahidi sana kutoa elimu bora,mpaka ukisikia watu hakiwatoki moyoni au kwenye vinywa vyao basi hapo ni mahara sahihi kabisa.
UDSM hakuna kitu,ni chuo cha siasa na migomo tu.Kweli nawaonea huruma sana vijana wa UD.
 
Back
Top Bottom