shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,372
wapenda mlio na msio kwenye mahusiano hivi ni sahihi kwa mwanamke uliye kwenye mahusiano kumhimiza mchumba wako swala la kuishi pamoja kwa maana ya ndoa.
maana nilikuwa najadili na mtu then akaniambia eti mwanamke ukihimiza swala la ndoa unaonekana kuna kitu unaficha au kuna kitu unakitaka.haya maneno yana ukweli?
majibu yenu ni msaada mkubwa kwangu........
maana nilikuwa najadili na mtu then akaniambia eti mwanamke ukihimiza swala la ndoa unaonekana kuna kitu unaficha au kuna kitu unakitaka.haya maneno yana ukweli?
majibu yenu ni msaada mkubwa kwangu........