ighaghe
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,365
- 3,302
Kila la heri mkuu.Usipoonyesha umekereka atarudia tena na tena. Inabidi ajue kwamba hujapenda hizo mbanga
Kila la heri mkuu.Usipoonyesha umekereka atarudia tena na tena. Inabidi ajue kwamba hujapenda hizo mbanga
siku hizi ndoa zimekuwa za ajabu sana, wanaume hovyo na wanawake wao hovyo kabisaAmesema ni mke
kweli...? mbona huonyeshi kuwa mwanaume mwenye mamlaka?Tumeoana mkuu
Hii ni kweli kwa 100%!!Wanawake kuna kipindi wanashindwa kutumia akili zao vizuri, so ni kujitahidi kuishi nao kwa akili zaidi.. tofauti na hapo uta fail...
Yeah. Ubishi tu wa watu kung'ang'ania kuoana/kuishi pamojasiku hizi ndoa zimekuwa za ajabu sana, wanaume hovyo na wanawake wao hovyo kabisa
bila kufahamiana vizuriYeah. Ubishi tu wa watu kung'ang'ania kuoana/kuishi pamoja
Kuna mzigua mmoja beki tatu jirani anadharau maskini, afu yeye beki tatu. Kwanza maskini wenyewe wako level sawa na boss wake. Nje ya mada lskinimama mzigua, babayake Mdoe