Hivi hiki ni chanzo cha ugomvi kweli??

Hivi hiki ni chanzo cha ugomvi kweli??

Tamthiliya
Wala. Huo unaitwa unafiki msipigishane kelele hapo ndani. Ijaribu mkuu, inasaidia sana. Ila ukishampet Usikae hapo, aga katafute la kufanya ukirudi mzungumze mengine. Ila kama ni mpenzi wa kelele, endelea kumuonyesha wewe ni kidume hata kwenye vitu vidogo vidogo' utafurahi mzee baba. Hawashindwagi wale.
 
Mke kakuta sms kweny simu yangu. Nimemtumia ndugu yangu ( wa kiume) tsh 12,000/- ( elfu kumi na mbili)

Kagomba eti why sijamshirikisha. SERIUS???

kanuna, nami nimekasirika Mara tatu take na nimemwamvbia asiingilie Mambo yangu Tena. Tusijuane yaani.

Haamini kilichotokea.
Kuna mpuuzi mmoja alinuna kisa nilichukua simu yangu wakati yeye anaangalia picha ambazo kimsingi sikuwa nimemruhusu kuangalia.
 
Nina mke ndio, Ila naukimbia sana ugomvi maana unaongeza stress tu. Hata kama una hasira unaweka unafki tu unampet pale yaishe. Na si kwa mke tu, hata kwa ndugu na marafiki. Nikiona hatuelewani na tunaenda kugombana nakupet kinafki pale naenda zangu kupiga vitu vyangu nikirudi tunaongelea mengine.

Maisha ni mafupi jamani, maamuzi ya namna ya kuyatumia ni wewe mwenyewe.
Kweli kabisa
 
Kuna Mzee mmoja alikuwa kila siku lazima afike bar flani anakunywaaa mpaka mda ya usiku mnene ndio anarudi kwake aliwai kuniambia mwanamke ukitaka kuleta ndugu yako atakwambia maisha magumu mume wangu lakini siku akitaka kuleta ndugu yake atakwambia tutajitahidi ivo ivo hata kama maisha magumu
 
Samtaim wanawake tunawaendekeza. Sasa ntavyom badilikia hatoamini, na mrejesho ntaleta hapa.

Blalful
Nenda kwa uangalifu mkuu...
Usije ukavunja ndoa, wewe ndio kiongozi ndio mlinzi wa hiyo ndio, ikivunjika huwezi kukwepa lawama hasa sababu ikiwa kukataa kumshirikisha mkeo.
Na unavyojiapiza hapa pamoja na yote utakayofanya kuchepuka ni jambo mojawapo katika hayo, hapa ujue kuwa utapunguza mapenzi kwa mkeo, utapunguza hamu ya tendo la ndoa na mkeo, MATOKEO YAKE NA YEYE ATACHEPUKA.. Usisahau kuwa na yeye nyege zipo Kama kawaida na anahitaji sex ya maana.
Sasa wewe jichanganye na mfumo dume wenu... Siku hizi uvumilivu kwa wanawake sio kiviiilee

Ushauri tu mkuu no offence
 
Najua wanawake mnapenda mshirikishwe kwenye mambo ya decision making, na sisi wanaume hatuna tatizo na hilo kwasababu mpo wenye vichwa makini mna ushauri konki..

ila hadi matumizi ya elf 12 nayo tukae kikao?

hii fifte fifte mnaenda nayo mbali sasa.
 
Usipoonyesha umekereka atarudia tena na tena. Inabidi ajue kwamba hujapenda hizo mbanga
Wala. Huo unaitwa unafiki msipigishane kelele hapo ndani. Ijaribu mkuu, inasaidia sana. Ila ukishampet Usikae hapo, aga katafute la kufanya ukirudi mzungumze mengine. Ila kama ni mpenzi wa kelele, endelea kumuonyesha wewe ni kidume hata kwenye vitu vidogo vidogo' utafurahi mzee baba. Hawashindwagi wale.
 
Back
Top Bottom