Tarehe ya kuzaliwa
Member
- Sep 5, 2019
- 89
- 73
- Thread starter
- #21
Ohooooo Tena?Serius ni aina ya nyota mkuu?
Ohooooo Tena?Serius ni aina ya nyota mkuu?
Kwann mkuuWewe jamaa kiboko
Wewe unaishi na Mke kweli?maana unayoongea hayapo kabisa kwenye uhalisiaKuna vitu vingine unasema tu samahani mke wangu ilikuwa ni dharura, naahidi kukushirikisha, usinune, maana ukinuna unantamanisha kweli nikunanii mke wangu.
Kesho yake Tuma hata laki kama ni muhimu Ila futa massage. Jipunguzie stress mkuu. Zawadi ya maisha ni fupi.
Ndio tulivyo wanawake,sometimes tuna gubu for nothing seriousNilimtumiaga ndg yake elf 20.. kimyaaaa
mama mzigua, babayake MdoeSamahani mkeo kabila gani, sina maana mbaya
Sawa mkuu. NimekuelewaNdio tulivyo wanawake,sometimes tuna gubu for nothing serious
Uwe unamshirikisha tu kupunguza migogoro isiyo ya lazima
Hasa nyakati za ujana ,tena kwa kizazi hiki cha dot com ni hatariNdoa bana
TamthiliyaKuna vitu vingine unasema tu samahani mke wangu ilikuwa ni dharura, naahidi kukushirikisha, usinune, maana ukinuna unantamanisha kweli nikunanii mke wangu.
Kesho yake Tuma hata laki kama ni muhimu Ila futa massage. Jipunguzie stress mkuu. Zawadi ya maisha ni fupi.
Mke kakuta sms kweny simu yangu. Nimemtumia ndugu yangu ( wa kiume) tsh 12,000/- ( elfu kumi na mbili)
Kagomba eti why sijamshirikisha. SERIUS???
kanuna, nami nimekasirika Mara tatu take na nimemwamvbia asiingilie Mambo yangu Tena. Tusijuane yaani.
Haamini kilichotokea.
Ndoa bana
HuendaKosa kubwa ulilolifanya ni kumuruhusu ashike simu yako na kuikagua.
Mpaka 12,000 kweli. Hata nikilipa bill bar nitaambiwa nije na risit sasaSasa pesa na kila kitu katika family si mnatakiwa mshirikishane na mkeo?ama wewe unaonaje?
Samtaim wanawake tunawaendekeza. Sasa ntavyom badilikia hatoamini, na mrejesho ntaleta hapa.Mpaka 12,000 kweli. Hata nikilipa bill bar nitaambiwa nije na risit sasa
Tumeoana mkuuKwani wameona...???
Nina mke ndio, Ila naukimbia sana ugomvi maana unaongeza stress tu. Hata kama una hasira unaweka unafki tu unampet pale yaishe. Na si kwa mke tu, hata kwa ndugu na marafiki. Nikiona hatuelewani na tunaenda kugombana nakupet kinafki pale naenda zangu kupiga vitu vyangu nikirudi tunaongelea mengine.Wewe unaishi na Mke kweli?maana unayoongea hayapo kabisa kwenye uhalisia
Ndoa bana
Sasa mkuu ushirikiano si ndio unaanzia kwenye mambo madogo madogo kama hayo ya 12KMpaka 12,000 kweli. Hata nikilipa bill bar nitaambiwa nije na risit sasa