Hivi hii ni starehe au ugonjwa?

Hizi picha bana zimekuwa na usiri mkubwa sana miongoni mwa watumiaji..Mtu anasema hazipendi, kumbe anazipenda sana , na anaziangalia kwake nyumbani.Mi nakumbuka kuna wanandoa walioenda kushitakiana kwa Paroko kwa ishu ya kutotimiziana tendo la ndoa. Ikaonekana kuwa madai ya mwanaume ni kuwa anajisikia uchovu sana na huwa anaona ni usumbufu sana kufanya tendo hilo, ndipo katika kuwashauri, paroko huyo alifikia hatua ya kuwaambia kuwa kama wanakosa msisimko na kuhisi baridi, basi waanze kuweka mikanda ya blueprint chumbani huenda itawasaidia kuamsha mshawasha wa tendo hilo, na hatimaye kuponya ndoa yao!Sijui imekaa vipi hii!
 
paroko huyo alifikia hatua ya kuwaambia kuwa kama wanakosa msisimko na kuhisi baridi, basi waanze kuweka mikanda ya blueprint chumbani huenda itawasaidia kuamsha mshawasha wa tendo hilo, na hatimaye kuponya ndoa yao!Sijui imekaa vipi hii!

Huyu paroko naye hajatulia, inamaana na yeye ni mdau wa kuleee kwenye jukwaa la akina Kibunango? au amejuaje kama mambo haya yataamsha mshawasha.
 
anza wewe kubadilika yaelekea na wewe ni mtamzaji mzuri umejuaje watu wanatama hizi picha, watoto kwa wakubwa and how do you get access to their phones and computers?


Inaonesha alikuwa kama si bado mtu wa CHABO!
 
Huyu paroko naye hajatulia, inamaana na yeye ni mdau wa kuleee kwenye jukwaa la akina Kibunango? au amejuaje kama mambo haya yataamsha mshawasha.

Hata mimi kule kila siku huwa napita kuwasalimia wakubwa wenzani watoto wakiwa wanaendelea na midahalo huku nje..Teh! Teh!
 
Adui umekuwa adui hata wa malovee,mi nilijua we ni adui wa mifisadi tuu,acha tujifunze ukubwa bwanaaa!!
 
Back
Top Bottom