DAWA YA SIKIO JF-Expert Member Dec 8, 2011 979 180 Jan 6, 2012 #1 Kwamba ukiongea kwa sauti kali fedha inaliwa zaidi,tofauti na ukiwasiliana kwa kunong'ona ?!... Watumiaji naomba jibu !
Kwamba ukiongea kwa sauti kali fedha inaliwa zaidi,tofauti na ukiwasiliana kwa kunong'ona ?!... Watumiaji naomba jibu !
N-handsome JF-Expert Member Jan 23, 2008 2,453 556 Jan 6, 2012 #3 Ha ha ha ha ha ha ha ha nikikutukana utatamba..............
DAWA YA SIKIO JF-Expert Member Dec 8, 2011 979 180 Jan 6, 2012 Thread starter #4 ndetichia said: jaribu uone sawa dawa ya sikio Click to expand... ... Sawa mkuu,subiri ninunue sim card,then nitafute wa kumfanyia majaribio !
ndetichia said: jaribu uone sawa dawa ya sikio Click to expand... ... Sawa mkuu,subiri ninunue sim card,then nitafute wa kumfanyia majaribio !