Hivi hii ni kweli kuhusu Kigoma!?

Hivi hii ni kweli kuhusu Kigoma!?

Umeandika point nzuri na ndio ukweli, ila nchi yetu iache kujiita wakarimu huo ni ulofa,mnyarwanda ni sumu siyo wa kucheka naye. Nimeona pale Morogoro kuna watu wanaitwa Ndikumana, wamekujakujaje nchini mwetu? Na wameajiriwa serikalini. Na ndio hawa hawana uzalendo kila siku wanaitukana nchi yetu mara waiite Tanzagiza km huyu aliyeleta hii post, huyo ni mrundi huhitaji kufanya uchunguzi. Kwanini hatuna wivu na uchungu na nchi yetu? Tanzania is a great nation we need to jealousy and proud of it, viwilaya km Rwanda na Burundi ni vya kuvidharau tu na wakiingia nchini mwetu washughulikiwe bila huruma na wajutie kuingia nchini mwetu ili wasirudie ndio hao jana Taifa Stars imefungwa wao wanashangilia. Mtu anaitaje nchi km Tanzania Tanzagiza? Huyo ni raia kweli? Mi nimetembelea nchi Kadhaa za Africa na Ulaya jinsi unavyochukukiwa ni kwamba hapa duniani una sehemu moja tu utaheshimika na kuonekana binadamu ni nchini mwako.
Leo.umetema madini tupu
 
Nje ya mada, wenyeji wa kigoma naomba maelekezo chimbo la dadapoa wa dau la uchumi wa chini 50-70k
 
Back
Top Bottom