Historia ya huko nyuma hakukuwa na nchi kama zilivyo leo.
Mipaka iliwekwa Ujerman baada ya Berlin conference, na makoloni machache yakabadilika baada ya Vita za dunia.
Tangu tawala za Machief, watawala huwa na TAMAA za kukuza HIMAYA zao kwa kuvamia ardhi na kujitanua.
Unasema kuhusu Warundi kuongea, lakini Iddi Amin alisema Kagera iko Uganda mpaka tukaenda vitani.
Kenya wanasema Mlima Kilimanjaro ni wa kwao.
Kamuzu Banda wa Malawi alisema siyo zowa Nyasa pekee, maeneo yote ya Mbeya, Njombe na Songea ni sehemu ya MALAWI.
Hizo nchi zote zingekuwa na UWEZO zingekuvamia.
Ndio maana binafsi, naona masiasa ya CCM ya kutoheshimu kura za wananchi yanahatarisha usalama wa nchi.
View: https://youtu.be/ICFmDTaKIws?si=beqKar2A8NbtxRTe