Hivi hii ni kweli kuhusu Kigoma!?

Hivi hii ni kweli kuhusu Kigoma!?

Kosugi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2019
Posts
19,213
Reaction score
31,353
Kumekuwa na malalamiko ya ana kwa ana na ya mitandao ya jamii kuhusu warundi wakidai kuwa Kigoma ni ardhi ya Burundi.

Wengi wao wanaenda mbali kabisa wakisema ipo siku watapambana kuirejesha Kigoma yao, wakidai kuwa Tanzania inawanyanyasa sana warundi wakiingia nchini.

Je kuna ukweli gani kuhusu Kigoma kuwa sehemu ya Burundi!?
Maana hili hata mitandaoni warundi wamelikomalia sana.
 
Kumekuwa na malalamiko ya ana kwa ana na ya mitandao ya jamii kuhusu warundi wakidai kuwa Kigoma ni ardhi ya Burundi.
Wengi wao wanaenda mbali kabisa wakisema ipo siku watapambana kuirejesha Kigoma yao, wakidai kuwa Tanzania inawanyanyasa sana warundi wakiingia nchini.
Je kuna ukweli gani kuhusu Kigoma kuwa sehemu ya Burundi!?
Maana hili hata mitandaoni warundi wamelikomalia sana.
Tafuta NIDA upigiwe kura
 
Watanzania wako bize na
FB_IMG_1755810676329.jpg

👇👇👇👇
 
Kumekuwa na malalamiko ya ana kwa ana na ya mitandao ya jamii kuhusu warundi wakidai kuwa Kigoma ni ardhi ya Burundi.
Wengi wao wanaenda mbali kabisa wakisema ipo siku watapambana kuirejesha Kigoma yao, wakidai kuwa Tanzania inawanyanyasa sana warundi wakiingia nchini.
Je kuna ukweli gani kuhusu Kigoma kuwa sehemu ya Burundi!?
Maana hili hata mitandaoni warundi wamelikomalia sana.
Watu wa kigoma wanasemaje Kwan......
 
Kumekuwa na malalamiko ya ana kwa ana na ya mitandao ya jamii kuhusu warundi wakidai kuwa Kigoma ni ardhi ya Burundi.
Wengi wao wanaenda mbali kabisa wakisema ipo siku watapambana kuirejesha Kigoma yao, wakidai kuwa Tanzania inawanyanyasa sana warundi wakiingia nchini.
Je kuna ukweli gani kuhusu Kigoma kuwa sehemu ya Burundi!?
Maana hili hata mitandaoni warundi wamelikomalia sana.
Mbona burundi ni sehemu ya tanganyika labda wamesema burundi ni tanganyika hivyo watapakbana kuwa watanganyika.
 
Kuna wajinga niliwaambia Kuna watu mnawaona wakimbizi ila nimeshawaona wakiwa sehemu fulani wakitimiza Majukumu ya kitaifa.

Kuna Jambo liatatokea kupitia kambi hizo.
Wawe Makin.
Uko sahihi mkuu,hata mimi hili limenishangaza na kuniogopesha.
Vuta picha unaongea na mtu yupo ndani ya ardhi ya Tanzania anajinasibu yeye ni mrundi na yupo ndani ya ardhi ya Burundi iliyoibiwa na Tanzania.
Idadi ya hawa ikiongezeka unadhani uasi upo mbali?
Si sawa na kuyakaribisha ya Kivu na Goma DR Congo?
 
Kumekuwa na malalamiko ya ana kwa ana na ya mitandao ya jamii kuhusu warundi wakidai kuwa Kigoma ni ardhi ya Burundi.

Wengi wao wanaenda mbali kabisa wakisema ipo siku watapambana kuirejesha Kigoma yao, wakidai kuwa Tanzania inawanyanyasa sana warundi wakiingia nchini.

Je kuna ukweli gani kuhusu Kigoma kuwa sehemu ya Burundi!?
Maana hili hata mitandaoni warundi wamelikomalia sana.
Kawaulize wao, au we ndiyo mrundi? Bwege kweli huna ht haya?
 
Kumekuwa na malalamiko ya ana kwa ana na ya mitandao ya jamii kuhusu warundi wakidai kuwa Kigoma ni ardhi ya Burundi.

Wengi wao wanaenda mbali kabisa wakisema ipo siku watapambana kuirejesha Kigoma yao, wakidai kuwa Tanzania inawanyanyasa sana warundi wakiingia nchini.

Je kuna ukweli gani kuhusu Kigoma kuwa sehemu ya Burundi!?
Maana hili hata mitandaoni warundi wamelikomalia sana.
Burundi na Rwanda ndiyo sehemu ya Tanzania zinatakiwa kurudishwa Alex Chalamila awe mkuu wa Mkoa wa Rwanda na Kafulila awe mkuu wa Mkoa wa Burundi
 
Kawaulize wao, au we ndiyo mrundi? Bwege kweli huna ht haya?
Embu kuwa na ustaarabu pia kuwa na heshima. Nina uwezo wa kukuvunjia heshima pia. Jikite kwenye mada.
Wenzako wamejibu kistaarabu na majadiliano yanaenda vizuri.
Nakusihi usitake kuharibia watu siku.
Sawa kijana!?
 
We
Kumekuwa na malalamiko ya ana kwa ana na ya mitandao ya jamii kuhusu warundi wakidai kuwa Kigoma ni ardhi ya Burundi.

Wengi wao wanaenda mbali kabisa wakisema ipo siku watapambana kuirejesha Kigoma yao, wakidai kuwa Tanzania inawanyanyasa sana warundi wakiingia nchini.

Je kuna ukweli gani kuhusu Kigoma kuwa sehemu ya Burundi!?
Maana hili hata mitandaoni warundi wamelikomalia sana.
We ngedere hujapitia ht shule ya msingi? Burundi na Rwanda ndiyo zilikuwa sehemu ya Tanganyika, ilimegwa na Ubelgiji baada ya vita ya kwanza ya dunia. Ni kwamba Tanzania haina shida ya ardhi na haiwataki hao wakabila banyamulenge ingelikuwa Tanganyika kurudisha wilaya zake hizo. Sema nani anataka kuishu nchi moja na mtutsi na mhutu?
 
Burundi na Rwanda ndiyo sehemu ya Tanzania zinatakiwa kurudishwa Alex Chalamila awe mkuu wa Mkoa wa Rwanda na Kafulila awe mkuu wa Mkoa wa Burundi
Aisee hata kama hizo Burundi na Rwanda ni zetu Tanzania ila hata tusizidai.
Hawa wahutu na watutsi ni watu poisonic sana. Wana tribalism ya hali ya juu.
Pia hapo Kigoma Tanzania iwe makini sana na hao wanaovuka mipaka.
Sio kwa hizi kelele wanazopiga kudai Kigoma ni yao.
Wengine wapo TZ na wanajinasibu warundi ndani ya ardhi ya urundi iliyoibiwa na TZ.
 
Embu kuwa na ustaarabu pia kuwa na heshima. Nina uwezo wa kukuvunjia heshima pia. Jikite kwenye mada.
Wenzako wamejibu kistaarabu na majadiliano yanaenda vizuri.
Nakusihi usitake kuharibia watu siku.
Sawa kijana!?
Heshima mwulize mamako aliyekuzaa, we bwege mburukenge usirudie kutuletea vinyesi humu
 
Aisee hata kama hizo Burundi na Rwanda ni zetu Tanzania ila hata tusizidai.
Hawa wahutu na watutsi ni watu poisonic sana. Wana tribalism ya hali ya juu.
Pia hapo Kigoma Tanzania iwe makini sana na hao wanaovuka mipaka.
Sio kwa hizi kelele wanazopiga kudai Kigoma ni yao.
Wengine wapo TZ na wanajinasibu warundi ndani ya ardhi ya urundi iliyoibiwa na TZ.
Hizo kelele wanazipigia wapi mkuu?
Maana warundi wanaona Tanzania kama sisi tunavyoiona Europe, America etc
 
Mtoa mada? Yapi ni maoni yako? Je unahoji upate majibu au unawasilisha maoni ya warundi kwa jamuhuri ya muungano wa Tanzania? Lengo tujifunze na sio tujifunge kwa muktadha wa Hoja yako kwa maoni ya mchanganyiko wa watu wanao husika na wasio husika!
 
Majibu yenye Logic kabisa yasiyotaka complications na mawazo ni HAPANA hii ni tokana na Mipaka ya Wakoloni miaka ile kama ilivyoandikwa.

Majibu magumu magumu ya kuchosha roho ni NDIO..Yenye kelele sasa na mizozo..hapa tuachane na Mipaka ya Kikoloni tuje na Mipaka ya Warundi na Wakigoma wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom