Hivi hii kweli au picha

Hivi hii kweli au picha

frank omary

Member
Joined
Jan 18, 2019
Posts
39
Reaction score
9
Zajioni wana jamvi juzi nilituma maombi ya kazi somewhere ila leo nimepokea email yao sasa ichi kipengele cha kutuma pesa apa 10000 kama bond ni kweli au ndo kupigwa?
Screenshot_2019-01-19-19-39-54.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shark kuna no zao walinitumia

Sent using Jamii Forums mobile app
Namba ndio inamaanisha hakuna utapeli?
Hata wale matapeli wanaotumaga meseji za "Ile Hela tuma kwenye namba ...., itatoa jina" si namba pia wanatumia kutapeli watu?
Cha msingi ni uone ofisi zao zilipo ujihakikishe kua ni kweli wana ofisi, na hizo kazi zipo kweli.
 
Hakuna cha refunded wala nn,hao ni matapeli kuna wkt they almost get me.
Achana nao endelea na mambo yako


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Iv mtu anawezaje kuandaa detailed info ivo kwa lengo tu lakutapeli buku 10?...c wangejikita ata ku develop app or something.
Waafrika ndo mana hatunaga maendeleo tunawaza namna yakupigana tu mda ote


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
tatizo ni kuwaza negativity kwa sana, kupata kitu kuna muda unahitaji kutake risk na kuwa aware na chochote kitakachotokea...
jilipue tu mkuu
 
Back
Top Bottom