dokolombwike
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 373
- 615
Jamani nimeshuhudia mara kadhaa hapa jamii forum na sehem nyingine watu kujitoa ufahamu na kusema binadam wote ni sawa na hakuna mzuri wala mbaya lakini, Napingana kabisa na hayo mawazo uzuri umezidiana lakini kuna wanawake wazuri kuliko wenzao tuwe wakweli jamani,kujipa moyo saa nyingine kwa vitu ambavyo viko wazi kabisa sio vizuri,kuna madem visu aiseee,sizungumzii sura nazungumzia tabia.Najua wabaya watakuja na mapovu ila sina jinsi,always truth will stand.