Hivi hii kampuni ya PCSP Mwanza ni matapeli?

Hivi hii kampuni ya PCSP Mwanza ni matapeli?

Joined
Apr 1, 2013
Posts
11
Reaction score
2
Wadau kuna wadau wanahusiana na mambo ya ukimwi wako jiji la Mwanza watu wamesainishwa mkataba na kulipia mtihani 30,0000, kitambulisho 5,000. Vipi kuna uhalali kweli wanajiita HIV international, kuna ndugu yangu kasaini mkataba anaambiwa magari yapo bandarini lakini hawana hata viti kwenye ofisi.

Wadau hebu tuchangie mawazo yenu kidogo najua kuna walioingia mkenge kama ndugu yangu na wanawaambia watu kwenda Congo
 
Hao ni matapeli wakubwa nawafahamu historia yao yote usithubutu na yeyote asithubutu kwenda kuomba kazi kwa hao watu.
 
hao jamaa kila mwaka wanaibia watu, hivi, hivi kwanini watu hawaskii? Mwambie hawapeleke police....
 
ndugu hao watu ni matapeli hawana lolote, mimi waliniingiza mkenge mwaka jana nikatoa taarifa police na mdau mmoja (mdada) hujitambulisha kama ni cordinator alikamatwa wakarudisha pesa,hata hivyo mabosi wao hawakufika police zaidi ya kutuma pesa through Tigo pesa ili kumkomboa mdada police, cheza mbali na hao watu....!!!
 
Hao jamaa wameanza hapo mwaka 2009 Hadith ni wazungu wanakuja Mara wamekufa wanakuja wengine Mimi walinila pesa mwezi wa 3 mwaka Jana hadi Leo wazungu watakuja yani wengi wanalizwa pale na Kama ni demu mzuri wanapiga copy na kazi utasibiri milele
 
Hao jamaa wameanza hapo mwaka 2009 Hadith ni wazungu wanakuja Mara wamekufa wanakuja wengine Mimi walinila pesa mwezi wa 3 mwaka Jana hadi Leo wazungu watakuja yani wengi wanalizwa pale na Kama ni demu mzuri wanapiga copy na kazi utasibiri milele
Hawajawahi kuajiri tangu kipindi hicho? I mean, kwenye kundi lenu hakuna waliochukuliwa na kuanza kazi?
 
Wadau kuna wadau wanahusiana na mambo ya ukimwi wako jiji la Mwanza watu wamesainishwa mkataba na kulipia mtihani 30,0000, kitambulisho 5,000. Vipi kuna uhalali kweli wanajiita HIV international, kuna ndugu yangu kasaini mkataba anaambiwa magari yapo bandarini lakini hawana hata viti kwenye ofisi.

Wadau hebu tuchangie mawazo yenu kidogo najua kuna walioingia mkenge kama ndugu yangu na wanawaambia watu kwenda Congo

Yaan hawa majamaa wameanza utapeli mwaka 2010,wanaitwa Mr.Single(Accountant) na mwingine anajiita Chief...mimi walinitapeli laki tatu wakanipa mkataba mpaka leo sijaipata hiyo kazi...namba zao za simu ni 0767994800 na nyingine ni 0655994800.Tunaomba wahusika wote wawe makini ikiwezekana wawapeleke kwenye vyombo vinavyohusika.Huo mwaka 2010 tuliacha kazi baada ya kusaini mkataba lakini tulibakia mwanza kuwa ombaomba.
 
Hawajawahi kuajiri tangu kipindi hicho? I mean, kwenye kundi lenu hakuna waliochukuliwa na kuanza kazi?

Leo hii ni 2014 hakuna hata mzungu aliyekuja akaondoka hata uwapeleke wapi wanaonyesha email zao na anaeitwa mfadhili mzungu akiwajibu kua yuko njiani hapo polisi wanakosa jibu ile ofisi ni nyumba ya serikali sijui tuwafanyaje
 
Yaan hawa majamaa wameanza utapeli mwaka 2010,wanaitwa Mr.Single(Accountant) na mwingine anajiita Chief...mimi walinitapeli laki tatu wakanipa mkataba mpaka leo sijaipata hiyo kazi...namba zao za simu ni 0767994800 na nyingine ni 0655994800.Tunaomba wahusika wote wawe makini ikiwezekana wawapeleke kwenye vyombo vinavyohusika.Huo mwaka 2010 tuliacha kazi baada ya kusaini mkataba lakini tulibakia mwanza kuwa ombaomba.

Yupo jamaa anajiita chief na mwajiri anaitwa tinga Mhasibu anaitwa Mariam kashindi kirunguye hawa ndio top ya matapeli walioshondikana
 
Yupo jamaa anajiita chief na mwajiri anaitwa tinga Mhasibu anaitwa Mariam kashindi kirunguye hawa ndio top ya matapeli walioshondikana

Maskini Tingaaaa, huyu jamaa nimemaliza naye form four mwaka 2002 pale Thaqaafa Secondary Mwanza. Kumbe ndo deal zake hizi siku hizi!! Alafu sijui hawa watu ni mapepo yanawasumbua kama huyu Tinga ana degree yake ya HR na alikuwaga anafanya kazi Azania bank sijui nini kilimsibu akaacha kazi ya bank na kujiingiza kwenye hizi mambo haram.
 
Maskini Tingaaaa, huyu jamaa nimemaliza naye form four mwaka 2002 pale Thaqaafa Secondary Mwanza. Kumbe ndo deal zake hizi siku hizi!! Alafu sijui hawa watu ni mapepo yanawasumbua kama huyu Tinga ana degree yake ya HR na alikuwaga anafanya kazi Azania bank sijui nini kilimsibu akaacha kazi ya bank na kujiingiza kwenye hizi mambo haram.
Unafikiri huko Azania alikuwa anapata pesa kama anayopiga sasa hivi!
 
Hii nchi ina wanausalama kweli? Kazi zao nini sasa? Wasaka ajira tunapigwa huku.
 
Yaan hawa majamaa wameanza utapeli mwaka 2010,wanaitwa Mr.Single(Accountant) na mwingine anajiita Chief...mimi walinitapeli laki tatu wakanipa mkataba mpaka leo sijaipata hiyo kazi...namba zao za simu ni 0767994800 na nyingine ni 0655994800.Tunaomba wahusika wote wawe makini ikiwezekana wawapeleke kwenye vyombo vinavyohusika.Huo mwaka 2010 tuliacha kazi baada ya kusaini mkataba lakini tulibakia mwanza kuwa ombaomba.
 
Back
Top Bottom