Hivi hii ishawahi kukutokea?

mmesigana na mwenza wako kiasi kwamba hamna mawasiliano yoyote lakini mnamisiana sana tuu, halafu nite moja unaota ndoto tamu mno, mko wote mmepatana na mnakumbushana machungu ya kipindi ambacho mligombana, mnacheka kwa furaha, unageuka kitandani ili umkumbatie na kumbusu unashtuka na kujikuta ukn pekeyako kitandani usiku mwingi na mito yako

haya na ww ulipotelea wapi?
 
Nitafsirie hilo neno la mwanzo kabla sijasema kama imentokea au la

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Thanks angel, hiyo avatar ina ujumbe ndani, asante kwa kuuelewa!

Bila shaka utaufanyia kazi...

kwema lakini? habari za sasa besti?

Poa kabisa. Uspotee sn Besty. Sote tuko busy, Ila hua tunajitahd tupate wasaa wa kuja huku maskan walau siku ikamilike vizuri
 
Poa kabisa. Uspotee sn Besty. Sote tuko busy, Ila hua tunajitahd tupate wasaa wa kuja huku maskan walau siku ikamilike vizuri

ntajitahidi kuwa kwa hewa besti,

usijali kuhusu hilo! ila ukinimiss sana bana tuma basi hata PM nawe!!!

do that buddy... we speak through the private window sometimes! Goodnight
 
ntajitahidi kuwa kwa hewa besti,

usijali kuhusu hilo! ila ukinimiss sana bana tuma basi hata PM nawe!!!

do that buddy... we speak through the private window sometimes! Goodnight

Nasubiria range rover langu au kontena bado haijatoka bandarini?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Nasubiria range rover langu au kontena bado haijatoka bandarini?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

andaa dola 169,000 za kimarekani, hiyo ndio bei halisi ya range rover kwa sasa!

hapo bado custom costs kibao!... karibu sana bandarini....!
 
andaa dola 169,000 za kimarekani, hiyo ndio bei halisi ya range rover kwa sasa!

hapo bado custom costs kibao!... karibu sana bandarini....!

Khaaaaa we si umesema wananinulia dadaako tena imekuaje yakhe? Kwa cost hiyo bora niendelee kuendesha baiskeli yangu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom