mwache amalizie kuangalia mpira af atujuze anachomaanisha.
Sijuwi sijaeleweka kwasababu ya uandishi tu au ni kutokana na kitu nilichokiongelea hakiingi akilini kwa hapa kutokana na kuwa membe wa jf wapo despersed kwa sana.
Na nikisema kuhusu kuonana, ninamaana ya kujumuika pamoja ktk eneo walilokubaliana kwa ajili ya hilo. Tuseme kwa member waliopo dar, wanaweza kufanya kitu hiki hasa kupitia uongozi au memberz wenyewe tu
Mbona watu wanakutana sana mimi wengine hadi nimefahamiana na familia zao na tumekuwa marafiki wakubwa tu its Beyond Keyboard my friendSijuwi sijaeleweka kwasababu ya uandishi tu au ni kutokana na kitu nilichokiongelea hakiingi akilini kwa hapa kutokana na kuwa membe wa jf wapo despersed kwa sana.
Na nikisema kuhusu kuonana, ninamaana ya kujumuika pamoja ktk eneo walilokubaliana kwa ajili ya hilo. Tuseme kwa member waliopo dar, wanaweza kufanya kitu hiki hasa kupitia uongozi au memberz wenyewe tu
dahhhh
sikujua mpira unaweza
chakachua akili za mtu hivyo duuuhhhhh
Wala nilikuwa siangalii mpira ila nimeweka post hii mara tu baada ya kuamka. Lkn licha ya kuwa nililala kwa muda mrefu, nimeamka na akili zangu timamu. Labda uwe ni ufinyu wangu wa mawazo uliyopelekea kuweka sredi hii.
Habari za AsubuhiTunakutana sana, 2napiga sana stori.
Habari za Asubuhi
sasa nimekupata
waweza kuu PM wachache ambao wako eneo
hilo unaloishi mkakutana nao au wa weza anzisha thread
.. si dhani Mods watakusaidia
kwa hilo lakini waweza jaribu..
Mods hawana ulazima wa kuwepo ktk hili.
"Acheni kwanza nijipange then nitaandaa tafrija ya kiasi na kuivite baadhi ya wana MMU"
Bora uandae hiyo tafrija..mi nna hamu sana ya kuona hizi sura za kwenye avator,naamini hizo avator zinafanana na wahusika kama mi ninavyofanana na hii yangu lol