Hivi haya maneno nitweli jamani

Hivi haya maneno nitweli jamani

SuperImpressor

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
1,505
Reaction score
649
Tuma neno 1 kwenda 15030 kwa gharama ya Tsh600 na upate Tsh6000 muda wa maongezi kupiga Voda, tuma SMS na internet kwa siku 7. Ofa hii ni hadi 17/03/2013. From: 15030
11:07 4.3.13

Kama kuna mtu aliyekwishafanya hivyo, je, alipewa kiasi gani cha bundle?
 
Mkuu mbona itakuwa shwari sana kuliko ile ya kutugeuza mabundi. Mabundi night offer
 
Ni kweli hiyo kitu, hata mimi nimepata msg inayofanana na hiyo. Naona ni majibu kwa mtandao wa Tg wao wana promo wanaaiita tg KABANG, ila tg ni siku 7 na vd ni siku 2.
 
Ni kweli hiyo kitu, hata mimi nimepata msg inayofanana na hiyo. Naona ni majibu kwa mtandao wa Tg wao wana promo wanaaiita tg KABANG, ila tg ni siku 7 na vd ni siku 2.

wait sjaelewa hapa jamaa hapo juu amesema 600 wao tigo ni 9000. So ni jamaa kakosea ni elfu sita au ni kweli ni mia sita?
 
oya ee super ndo kusema we tajiri au, mi nimetumiwa yangu nitume neno 1 kwena 15030 nitakatwa sh 50, ntapewa 500 ya kupiga voda kwenda voda, ntapewa sms na internet sku saba.

Hawajaspecify internet kiasi gani wala sms ngap ngoja mi naunga ntawapa feedback
 
oya ee super ndo kusema we tajiri au, mi nimetumiwa yangu nitume neno 1 kwena 15030 nitakatwa sh 50, ntapewa 500 ya kupiga voda kwenda voda, ntapewa sms na internet sku saba.

Hawajaspecify internet kiasi gani wala sms ngap ngoja mi naunga ntawapa feedback

Nadhani siyo kwamba ni tajiri ila wameamua kunisaidia maisha
 
Dah, voda kweli kazi ni kwako kwa upload speed 5.7mbs lol sijui tunataka nini tena.
 
Dah, voda kweli kazi ni kwako kwa upload speed 5.7mbs lol sijui tunataka nini tena.

Funguka mkuu tunajua kwamba voda wana speed na shida yetu tunataka kujua kwamba hiyo ofa ni unlimited au limited
 
Funguka mkuu tunajua kwamba voda wana speed na shida yetu tunataka kujua kwamba hiyo ofa ni unlimited au limited

Mkuu sijajua, unaweza kukuta ni kama zile 2GB za wali ila unatumia ndani ya siku7.
 
​hizi mambo mie hua zinanipita kila siku, sijui voda wana bifu na mie?
 
Tuma neno 1 kwenda 15030 kwa gharama ya Tsh600 na upate Tsh6000 muda wa maongezi kupiga Voda, tuma SMS na internet kwa siku 7. Ofa hii ni hadi 17/03/2013. From: 15030
11:07 4.3.13

Kama kuna mtu aliyekwishafanya hivyo, je, alipewa kiasi gani cha bundle?

unapewa sh. 6000 uzitumie katika kupiga , sms na kubrowse.. Upo hapo?? Eti unlimited.. Kakuambia nani.
 
Mimi nilivoelewa.
Ukituma hilo neno, utakatwa tsh.600 then wao Voda watakupa kiasi cha tsh.9000 as salio. Lakini ilo salio Hutaweza kurusha wala Kuunga bandle ya aina yoyote (Cheka sms, intenet na ya dakika za bure) Ila litatumika kwa Kupiga simu, kutuma msg na kune internet tu.
Ndio uelewa wangu wakuu.
 
​hizi mambo mie hua zinanipita kila siku, sijui voda wana bifu na mie?
Haupo peke yako kamanda!!!
Mie pia hizi offer nazisikiaga hewani tu so nadhani wana watu wao maalum hawa voda...!!
 
Haupo peke yako kamanda!!! Mie pia hizi offer nazisikiaga hewani tu so nadhani wana watu wao maalum hawa voda...!!
hata mi nafikiri voda wana number zao maalum za kugawa offa. haipiti siku mbili hawajanitumia txt ya offa kwenye line yangu ya mawasiliano, ila ambayo ninatumia kwa modem sijawai kupata offer.
 
Wakuu imekula kwangu nimeunga ikaonekana kwamba nimefanikiwa lakini nilipojaribu kupiga simu naambiwa sina salio la kutosha nikitumia internet haiconnect na hata sms nazo ni zero kabisa kwa kweli hawa jamaa noma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom