Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,539
Wakuu imekula kwangu nimeunga ikaonekana kwamba nimefanikiwa lakini nilipojaribu kupiga simu naambiwa sina salio la kutosha nikitumia internet haiconnect na hata sms nazo ni zero kabisa kwa kweli hawa jamaa noma
kwani unaungaje au tuseme unatumia neno gani ili na sie tujaribu hiyo pata potea