Henry Philip
Senior Member
- Jul 29, 2008
- 113
- 32
sisi wapagani tunaamini kwamba mungu wetu aliumba mwanamke na mwanaume ili waijaze dunia kwa kuzaana bila masharti, na ndio maana wazee wetu walioa wanawake wengi bila masharti, lakini hawa wakoloni wametuletea dini ambazo zinatuwekea msharti, mara kuoa mke mmoja, mara kuoa mwisho wanawake wanne..... Na masharti kibao.
Sisi wapagani hatujui kuoa tunajua kuzaa tu basi, hakuna mahali mungu alisema muoane, bali alisema muende mkazaane muijaze dunia........
Mnaniudhi nyie na dini zenu hizo..................lol
hahahaaaa, inabidi nifurahi maana kwa ulivyolalamika inaonekana wazi kuwa wamekubania sana kupiga gemu, wanakuudhi eeh? Pole ndugu. Lakini haujakatazwa, ni wewe mwenyewe tu, jitume.