ha ha ha ha ha ha Mtakoma kuichagua chadema arumeru. Lazima tuwachape viboko indirectly. chezea CCM!!
Wewe kichaa nini Chadema na mafuta wapi na wapi?
jamani ewura mpaka sasa ni mwez bei za mafuta ni zilezile hazija shuka,na ahadi zenu watanzania wanazisikiliza na kuzifatilia,tupeni majibu au na nishati ni siasa?