Hivi Hassan Rehan Bichuka alishawahi kuhudumu Msondo Ngoma?

Hivi Hassan Rehan Bichuka alishawahi kuhudumu Msondo Ngoma?

VOICE OF MTWARA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
3,099
Reaction score
2,208
kwenye wimbo "Demokrasia ya Mapenzi" nasikia sauti ya Bichuka na kina Moshi William. Ni kweli Bichuka alishawahi kuitumikia Msondo?
 
Duuuuu
kwenye wimbo "Demokrasia ya Mapenzi" nasikia sauti ya Bichuka na kina Moshi William. Ni kweli Bichuka alishawahi kuitumikia Msondo?
, UMEZALIWA MWAKA Gani Wewe? HASSAN REHANI BITCHUKA Kaingia Nuta jazz Band Mwishoni Mwa Mwaka 1973-katumikia Msondo Mbaka Mwaka 1979 Mwishoni ndio kaenda Sikinde NGOMA ya Ukae- Baadaye Tena Mwaka 1990 Kaenda Msondo NGOMA Mbaka Mwaka 2000 Akarudi Zake Sikinde- Je una Swali Lingine Mkuu?
 
Duuuuu

, UMEZALIWA MWAKA Gani Wewe? HASSAN REHANI BITCHUKA Kaingia Nuta jazz Band Mwishoni Mwa Mwaka 2973-katumikia Msondo Mbaka Mwaka 1979 Mwishoni ndio kaenda Sikinde NGOMA ya Ukae- Baadaye Tena Mwaka 1990 Kaenda Msondo NGOMA Mbaka Mwaka 2000 Akarudi Zake Sikinde- Je una Swali Lingine Mkuu?
nilikuwa sijui kabisa mku. kuhusu umri ninakaribia 37 sasa
 
Katika albam ya Msondo ngoma Rabana ya 2000 kashiriki kaimba nyimbo zote mule
na kwa upekee nyimbo za Rabana na Chuma kikoli moto utunzi wa Suleiman Mwanyiro
 
Back
Top Bottom