Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,621
- 16,373
Natumia sana halotel kwenye kivurushi vya internet sasa nataka kupata smartphone ya bei rahisi ili niwe naunganisha kwenye PC maana moderm zinazingua.
Au hata kama kuna simu tu isiyo ya halotel lakini naweza kuunganisha hotspot kwa PC iliyo chini ya 100k mwongozo tafadhali.
Nawasilisha.
Au hata kama kuna simu tu isiyo ya halotel lakini naweza kuunganisha hotspot kwa PC iliyo chini ya 100k mwongozo tafadhali.
Nawasilisha.