jibu sahihi analo muhusika .
ukikutana na mtu km uyo ndo umuulize ..bibie vp mbona aujaosha vyema?aujui?
lakin et mwajuma kashindwa kuosha kabat lake then ukaja kutuuliza sisi itakuwa ngumu kukujibu kwa vile kuna sababu nyng ndani yake na kujifanya shekh yahya dhambi na mimi stak ZAMB:nono:
Binafsi nilikuwa na mawazo kama uliyotowa lakini nimegunduwa panapokuwepo mkushaniko wa wanaume wakiwa wanapombeka hutokea malalamiko kama hayo wengine huenda mbali katika kuwahukumu wapenzi wao lakini pia inawezekana kama ulivyosema inahitajika wambie lakini swali linakuja hapa jee ni njia gani za kufikisha huo ujumbe bila ya kutokea mzozo kwa mfano wewe binafsi mpenzi wako akubaini utupu wako unanuka Uvundo than aseme mpenzi wee CHACHACHA inapalia kwa harufu chafu hutofurahi inambidi kumezea na kunungunika kwenye makundi ya pombe
huko ni kujisahau tu kwa wakina dada au uzembe. mtu anafuga makucha marefu na pia wengine wamebandika makucha na yana rangi sasa atajisafishaje huko? mpe darasa huyo ambaye hawezi jisafisha
mmmmmh je na nyie wanaume tupu zenu mnazisafisha? Mnalima na kupalilia? Hazinuki mikojo?
Anyway kwa wanawake labda hayo majani ndivyo wenza wao wanavyopenda
nipo busy hapa angenikoma....apochachaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!
Hebu mdada/mmama aokoe jahazi kwa kutoa uzi maalumu namna ya kuweka safi mwili hasa maeneo hayo, maana sioni km kuna mwanaume anayeweza kumwambia mpenzie eti ananuka maeneo hayo.
madame iyo avatar nazimia mwenzio.... urembo huu nomaHujui kama kuna matatizo ya maji TZ
nipo busy hapa angenikoma....
Binafsi nilikuwa na mawazo kama uliyotowa lakini nimegunduwa panapokuwepo mkushaniko wa wanaume wakiwa wanapombeka hutokea malalamiko kama hayo wengine huenda mbali katika kuwahukumu wapenzi wao lakini pia inawezekana kama ulivyosema inahitajika wambie lakini swali linakuja hapa jee ni njia gani za kufikisha huo ujumbe bila ya kutokea mzozo kwa mfano wewe binafsi mpenzi wako akubaini utupu wako unanuka Uvundo than aseme mpenzi wee CHACHACHA inapalia kwa harufu chafu hutofurahi inambidi kumezea na kunungunika kwenye makundi ya pombe
usimwambie kwa ukali..tell ha kwa upole
uenda ananuka kwa magonjwa
uenda ajafunzwa na anazan io ndo harufu ya k....so tel ha