Nimekuja kugundua watu wengi hawana ajira si kwamba hawana uwezo au akili, lakini Ni Kiingereza ndiyo kiliwakwamisha kupata kazi.
Unakuta Mtu ni graduate kabisa lakini Hana uwezo wa kunieleza kwa kiingereza ,lakini Ni mzuri practicaly.
Mfano mzuri, hivi kazi Kama bank teller hiyo ata form four anaweza fanya au form six. Au kufungulisha watu account bank, zipo nyingi, lakini watu wanakosa kutokana na lugha.
Me nadhani serikali iliangalie hili, ikiwezekana lungha ya kiingereza itimike kufundishia masomo yote katika.shule za msingi na awali ili watu wajijengee msingi mzuri wa lugha. Ni hayo tu.
Unakuta Mtu ni graduate kabisa lakini Hana uwezo wa kunieleza kwa kiingereza ,lakini Ni mzuri practicaly.
Mfano mzuri, hivi kazi Kama bank teller hiyo ata form four anaweza fanya au form six. Au kufungulisha watu account bank, zipo nyingi, lakini watu wanakosa kutokana na lugha.
Me nadhani serikali iliangalie hili, ikiwezekana lungha ya kiingereza itimike kufundishia masomo yote katika.shule za msingi na awali ili watu wajijengee msingi mzuri wa lugha. Ni hayo tu.