mzeemitomingi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 267
- 74
Habari ndugu wana jamii ya Tanzania, Kila mahali tunaishi kwa foleni.. zingine ni za msingi lakini zingine sio za lazima kama bank (one teller ila madirisha 6).
Ferry (one server madirisha 2 mpaka 3), Kigamboni bridge (one or two servers ila kuna madirisha mengiVtu).
Hii inatokana na uzito wa kufikiria,
Kutokujali mida ya watu,
Kuridhika kupita kiasi,
Culture ya uvivu bila kujijua.
Au tuna shida gani?
Wenye kuelewa atupe mawazo yake tujitathimini
Santeni
Ferry (one server madirisha 2 mpaka 3), Kigamboni bridge (one or two servers ila kuna madirisha mengiVtu).
Hii inatokana na uzito wa kufikiria,
Kutokujali mida ya watu,
Kuridhika kupita kiasi,
Culture ya uvivu bila kujijua.
Au tuna shida gani?
Wenye kuelewa atupe mawazo yake tujitathimini
Santeni