Wakuu, nilikua nataka kujua hivi hii gesi yetu na mambo ya uchumi wa gesi yameishia wapi?, naona Wakuu wa awamo ya tano hawaongelei kabisa gesi na ukiangalia harakati iliyopo ya kimakakati ya kiuchumi inaashiria hamna gesi katika mikakati hiyo..
Tunajua gesi ingesaidia Sana katika ujenzi wa miundombinu yetu kwa kasi na kuunganisha nchi yetu na kufanya shughuli za uzalishaji kua nafuu na fanisi zaidi huku mitaji ya ndani na nje ikizunguka kwa urahisi zaidi, na mengineo mengi kama uboreshaji elimu na mishahara ya walimu Wetu, vyombo vya usalama, na kuwekeza katika makazi mijini na kuwekeza nje kiasi kingine ill kuepukana na mzunguko mkubwa wa fedha kuliko uzalishaji wa ndani. Haya yalikua matumaini sasa ukweli iko wapi?
ingependa kupata taarifa yeyote ya jambo hili kwa wale wanaojua au wafuatiliaji wa hili jambo pamoja na kuwatarifu wengine wenye kutaka ufahamu kama Mimi. Tujuzane kwa upeo na uelewo mzuri.
Asante.
Tunajua gesi ingesaidia Sana katika ujenzi wa miundombinu yetu kwa kasi na kuunganisha nchi yetu na kufanya shughuli za uzalishaji kua nafuu na fanisi zaidi huku mitaji ya ndani na nje ikizunguka kwa urahisi zaidi, na mengineo mengi kama uboreshaji elimu na mishahara ya walimu Wetu, vyombo vya usalama, na kuwekeza katika makazi mijini na kuwekeza nje kiasi kingine ill kuepukana na mzunguko mkubwa wa fedha kuliko uzalishaji wa ndani. Haya yalikua matumaini sasa ukweli iko wapi?
ingependa kupata taarifa yeyote ya jambo hili kwa wale wanaojua au wafuatiliaji wa hili jambo pamoja na kuwatarifu wengine wenye kutaka ufahamu kama Mimi. Tujuzane kwa upeo na uelewo mzuri.
Asante.