Hivi future ya Tanzania ni nzuri kweli?

Hivi future ya Tanzania ni nzuri kweli?

Traxtion

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
7,588
Reaction score
15,478
Kwa mambo yanayoendelea kuuana, kutekana, CCM, Chadema, wanaharakati, machawa, ufisadi, maendeleo ya nchi, madeni, Utanganyika, Uzanzibari, bandari, uranium, UAE, EU, Russia, changamoto za ajira, umasikini nk

The way tunavyo handle hivi vitu kama taifa, mnaiona Tanzania ya miaka ijayo ikiwa nzuri au inazidi kuharibika? Are we doing good enough or we could do better?
file_0000000025f471f4aae086146a2b53ce.png
 
Tushafeli siku nyingi, Kila mtu anatetea rizk yake kimpango wake.
 
Back
Top Bottom