Hivi Dr Myles Munroe alikufa kawaida?

Hivi Dr Myles Munroe alikufa kawaida?

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
4,289
Reaction score
2,472
Huyu mtu nimeanza kumsikiliza majuzi hasa kupitia youtube. Nimegundua ni kati ya watu ambao walikuwa na ufahamu wa hali ya juu sana. Sasa najiuliza tu, kweli kifo chake japo kilikuwa ni ajali ya ndege, ilikuwa ni kawaida tu? Najua kuna watu humu wana ile kitu Habibu B. Anga anaita security clearance, so wana inside information.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom