kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 19,156
- 11,608
Kuhisi kinyaa ni dalili ya mimba changa mkuu.Jamaa amekaa NSSF tangu 1997 mpaka 2016 bado analalamika? Yaani u DG miaka yote hiyo? Hii si sawa ndio maana aliota mizizi!! Kinachoshangaza waislam wanamtetea kama masihi wao!! Inatia kinyaa!!
Nenda kapime haraka.
Halafu epuka dawa kali za kalikiti. Zina madhara makubwa sana
Ahsanta