Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,530
- 43,919
Teh teh teh!Shangazi lusungo mimba changa ni shida mno hasa km unaishi kwa Shemeji.
Nakushauri urudi tu nyumbani ukerewe ukazalie huko. Hapa mjini hakuna atakae kujali. Utakula mkong'oto mpk ujifungulie sebuleni.
Ile njaa ilioko hapo nyumbani kwenu Ukerewe wanayo wengi tu wasio na Elimu km.wewe. Vumilia.
Haya ndio matatizo ya kupenda chips kavu za mijini matokeo yake kichefchef na Trip za clinic kuanza.
Km hii mimba ya 7 bado hujashtuka basi we utakula msoto mpk siku ya kufa.
Umekuwa ka jamvi la wageni. Kila mpita njia lzm alikalie.
Teh teh teh teh.
Dah..
Kamanda umenipasua mbavu kwa kucheka daah!