0909h
Member
- Jun 7, 2016
- 48
- 25
US kuna kitu walikuwa wanakitafuta wamekipata huko KenyaHabari wakuu,
Pole na majukumu ya apa na pale nina maswali machache nayo jiuliza kuhusu huu ugonjwa uko U.S.A toka mauaji ya yule muafrika tunaona maandamano bila hatua zozote
1. Lock down imeishia wapi
2. Yale maandamano ayawezi kusababisha mlipuko zaidi
3. Au ni ugonjwa wa kutengeneza kwa maneno
Tafakari njema
Ongezea na mawazo yako
Mazuzu haya ya Afrika wanajifanya wasomi Kila kitu wanaiga
