Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,241
Habari wakuu,
Pole na majukumu ya hapa na pale nina maswali machache nayo jiuliza kuhusu huu ugonjwa uko U.S.A toka mauaji ya yule muafrika tunaona maandamano bila hatua zozote
1. Lock down imeishia wapi
2. Yale maandamano ayawezi kusababisha mlipuko zaidi
3. Au ni ugonjwa wa kutengeneza kwa maneno
Tafakari njema
Ongezea na mawazo yako
Pole na majukumu ya hapa na pale nina maswali machache nayo jiuliza kuhusu huu ugonjwa uko U.S.A toka mauaji ya yule muafrika tunaona maandamano bila hatua zozote
1. Lock down imeishia wapi
2. Yale maandamano ayawezi kusababisha mlipuko zaidi
3. Au ni ugonjwa wa kutengeneza kwa maneno
Tafakari njema
Ongezea na mawazo yako