Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Acha mambo yakoo....siku hizi umejichimbia wap wew?
Acha mambo yakoo....siku hizi umejichimbia wap wew?
Hivi wewe si upo singo kama mimi?Wanaume mnambinu aise kha
Hapana...asante mkuuHivi wewe si upo singo kama mimi?
Hapana...asante mkuu
Tutakutana huko huko kwa mtaa huku hapana aiseh
Humu pagumuu ila tunapambana tu hvyo hvyo...ndio jamii yetuTutakutana huko huko kwa mtaa huku hapana aiseh
Nyie endeleeni kupambana aisehHumu pagumuu ila tunapambana tu hvyo hvyo...ndio jamii yetu
Nilibahatika kupata demu mmoja humu! Viatu vya..cjui alikua anaugua pumu au lah! Nlimtandika mikwaju ya maana nkaona anakidude cha kuongeza pumzi! Mpka Leo cjajua a see! Hizi takataka za kuokota humu jaman Mungu tu anasaidia! Vijana wenzangu tuache mserereko na kupenda vya bwerere! Wengi humu na kule kwenye mitandao pendwa ni waathirika! Tuwe makini japo nyege hazina mjanja! Nb; ndom 2 kwa tendo moja mana hawana alama!Habari zenu.
mwaka 2016 kulikuwa na couple humu zenye mbwembwe sana ila ghafla mwanzoni mwa 2019 zikaanza kififia na mwaka 2020 zikapotea kabsa na sasa sioni watu wakiandikiana maneno mazuri kwenye siku zao za kuzaliwa kama zamani.
kipindi hicho kila mmoja humu alikuwa na mpenzi humu,
je nini kitokea mpaka couple nyingi humu kuyeyeyuka na zilizopo zinapumlia gesi maana sioni zile amsha amsha kama za kipindi hicho.
Je ni vyuma kukaza, wengi wameachana, au ulikuwa utoto unawasumbua na sasa wamekua au zilikuwa mbwembwe zisizo na uhalisia.
wikiendi njema.
Mimi ndio hunitaki tena baba Dickson?
Ni lazima unipe gari uliyoniahidi ndiyo couple hii itaendelea ,otherwise basiii🖤😀
Yaani naitafutaaa sanaNi lazima unipe gari uliyoniahidi ndiyo couple hii itaendelea ,otherwise basiii
Tangu mwaka juzi unatafuta tuu aarh, nakubwaga mimi🤭Yaani naitafutaaa sana
All of me.....
Babe hivi nnajichanga Ila mwezi hauish hu,si unatak new model wewTangu mwaka juzi unatafuta tuu aarh, nakubwaga mimi
Hahaa, usijali babe tafuta taratibu tu, upendo kwanza hizi material things zipo tuu. Hujambo lknBabe hivi nnajichanga Ila mwezi hauish hu,si unatak new model wew
Jf sikuiz mala moja kwa mweziHahaa, usijali babe tafuta taratibu tu, upendo kwanza hizi material things zipo tuu. Hujambo lkn