MPANDA Jr
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,295
- 157
Usikimbie mada, mada haiongelei uchaguzi mkuu, kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2011 CHADEMA imekuwa ikifanya siasa na 'CHOPA' hapo Arusha tu, kama unabisha, ni kwanini kwenye uchaguzi wa madiwani chopa haikuvuka mipaka ya Arusha?
Tuwaambie tunapoelekea na chopa mtulipue kama Saitoti! Wakati wa kampeni chopa imetua Tanga, Manyara, Kondoa, Bahi ispokuwa maeneo ya Morogoro na nyanda za juu kusini, tulitaarifiwa kwamba kuna mitambo ya kuangushia helkopter imetegwa, kwa hiyo tumieni magari tu. Pia Chama kinaendelea kufunga DVR kila kona na ndani ya mwezi huu tutatikisha mikoa yote... Wewe hujui kwa sababu ni gamba tu, unaropoka bila hata utafiti...