Mo ninahofu kuwa wale mafisadi wakarudi katika wizara zile ambazo JK aliziunda kipindi anaingia Madarakani 2005,, sasa Lowasa akapata uwaziri Mkuu coz kashaanza kumsafisha
We silver25, kwa nini uwe na wasiwasi kuhusu uwepo wa mafisadi kwenye baraza la mawaziri, mafisadi sio watu bali ni tabia, mafisadi wote unaowajua wewe kabla hawajafisidi, walikuwa watu safi, walipoteuliwa na chama chao ndipo wakafisidi na kuitwa mafisadi, kwa vile hawajawahi kuadhibiwa chochote na chama chao kwa ufisadi wao, mpaka mkuu wao akiwanadi baadhi yao, then chama chao kinawakumbatia mafisadi, hata hao watakaoteuliwa wawe ni tayari mafisadi au watakuja kuwa mafisadi, wote wataishia kuwa wale wale.Katika kuandaa Baraza la Mawaziri Tanzania je Kakutakuwa na Mafisadi katika Baraza hilo? mimi nina wasiwasi kabisaaa
Jamani naona mafisadi watarudi. Checklist yangu kujua kama mafisadi watarudi kwa wingi kiasi gani ni kuangalia wizara nyeti kama itakuwa na mawaziri makini. Mfano wa wizara hizo bila kuachilia mbali kiranja mkuu (Prime Minister) ni;
1.Mambo ya Nje
2.Mambo ya Ndani
3.Elimu na
4.Miundombinu
Please huwa mtu apikwaye kwa next presidential candidate amekuwa akipitia Mambo ya nje so this time take a note nani ataletwa hapa.
Nawakilisha.