Hivi Benki kuna mikopo ya build to rent?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
Build to rent ni mikopo kwa wajasiliamali wa kupangisha nyumba. Hitaji la nyumba mijini ni kubwa sana. Chumba chenye ceiling board, ndani ya nyumba yenye umeme na maji kinafika 70-90,000 mjini Dar.

Kiwanja katika sehemu unayoweza kuoangisha chumba 80,000 kinaweza kukugharimu milioni 10-15. Mkuu wa mkoa wa Dodoma aliwahi kusema usiweke pesa nyingi sana katika ujenzi wa nyumba ya kupanga. Hapa katika mahesa yako ondoa bati la msouth. Jitahidi gharama za ujenzi ziwe milioni 35-40.

Katika vyumba 6 ndani utapata 460,000 kwa mwezi na uwani kuna vyumba viliwi vya 40,000. Kama ulichukua mkopo bank kwa kujengea unaweza kufanya marejesho ya 200,000 kwa mwezi.
 
Yaani kwa mahesabu ya karibu labda rejesho liwe 400,000 kwa mwezi ndiyo kidogo unaweza kumudu mkopo
Hizo biashara hazina faida sana, ila ni kichaka kizuri cha kutakatisha fedha.
Na kupitisha wealth to the next generation.
Bora uwe na vyumba vinne vyote self contained, sebule iwe lobby.
Uwe na gesti bubu chumba 10,000/- kwa siku, show-time 5,000/- masaa matatu uswahilini.
Utaona jinsi madera yanavyoingia na kutoka.
Kiwanja Buza Malawi.
 
Hizo biashara hazina faida sana, ila ni kichaka kizuri cha kutakatisha fedha.
Na kupitisha wealth to the next generation.
Bora uwe na vyumba vinne vyote self contained, sebule iwe lobby.
Uwe na gesti bubu chumba 10,000/- kwa siku, show-time 5,000/- masaa matatu uswahilini.
Utaona jinsi madera yanavyoingia na kutoka.
Kiwanja Buza Malawi.
Hizi biashara inawezekana Uswahilini, vyumba viwili unakaa mwenyewe vingine vinakupa hela ya mboga.

Guest bubu ni nzuri pia

Nyumba ya kupangisha kuanzia laki tano kwa mwezi labda upate foreigners, mwenyeji mwenye uwezo wa kulipa laki tano kwa mwezi anao uwezo wa kujenga nyumba yake.
 
Build to rent ni mikopo kwa wajasiliamali wa kupangisha nyumba. Hitaji la nyumba mijini ni kubwa sana. Chumba chenye ceiling board, ndani ya nyumba yenye umeme na maji kinafika 70-90,000 mjini Dar.

Kiwanja katika sehemu unayoweza kuoangisha chumba 80,000 kinaweza kukugharimu milioni 10-15. Mkuu wa mkoa wa Dodoma aliwahi kusema usiweke pesa nyingi sana katika ujenzi wa nyumba ya kupanga. Hapa katika mahesa yako ondoa bati la msouth. Jitahidi gharama za ujenzi ziwe milioni 35-40.

Katika vyumba 6 ndani utapata 460,000 kwa mwezi na uwani kuna vyumba viliwi vya 40,000. Kama ulichukua mkopo bank kwa kujengea unaweza kufanya marejesho ya 200,000 kwa mwezi.
Build to RENT ipo,Tatizo ni Financial Market.RIBA ni kubwa,Soko la upangishji halitabiriki na mbaya zaidi inflation ni kubwa sana.
 
Build to RENT ipo,Tatizo ni Financial Market.RIBA ni kubwa,Soko la upangishji halitabiriki na mbaya zaidi inflation ni kubwa sana.
Inabidi u tagert soko la wateja wako, civil servants ni soko la uhakika na kwa sasa nyumba za serikali kwa watumishi wake ni chache sana.

Kwa hawa ukijenga units za vyumba viwili vya kulala, choo, bafu na jiko kwa laki mbili kwa mwezi unaweza kupata wateja.
 
Build to rent ni mikopo kwa wajasiliamali wa kupangisha nyumba. Hitaji la nyumba mijini ni kubwa sana. Chumba chenye ceiling board, ndani ya nyumba yenye umeme na maji kinafika 70-90,000 mjini Dar.

Kiwanja katika sehemu unayoweza kuoangisha chumba 80,000 kinaweza kukugharimu milioni 10-15. Mkuu wa mkoa wa Dodoma aliwahi kusema usiweke pesa nyingi sana katika ujenzi wa nyumba ya kupanga. Hapa katika mahesa yako ondoa bati la msouth. Jitahidi gharama za ujenzi ziwe milioni 35-40.

Katika vyumba 6 ndani utapata 460,000 kwa mwezi na uwani kuna vyumba viliwi vya 40,000. Kama ulichukua mkopo bank kwa kujengea unaweza kufanya marejesho ya 200,000 kwa mwezi.
Bongo kuna mambo ya hovyo sana..benki hazienda kugusa matatizo ya wananchi wapo kuwanyonya tu..

Kwanini wasianzishe mkopo kama mtumishi unataka nyumba unaingia nao mkataba..wanakujengea nyumba zen unawalipa hela...wanakata taratibu

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom