Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,093
- 22,806
Habarini.
Mimi ni mwanachama wa hii social network kwa muda tokea 2011 ila sikuitumia sana nikatemana nayo maana sikuwa naelewa namna ya kutumia na Facebook ndio ilikuwa kila kitu
Sasa nataka kujua kwa wanaoitumia hebu nambieni, unatumeje ujumbe, unafanyaje kuwasiliana na marafiki unaowaona kule maana ipo complicated balaa.
Mimi ni mwanachama wa hii social network kwa muda tokea 2011 ila sikuitumia sana nikatemana nayo maana sikuwa naelewa namna ya kutumia na Facebook ndio ilikuwa kila kitu
Sasa nataka kujua kwa wanaoitumia hebu nambieni, unatumeje ujumbe, unafanyaje kuwasiliana na marafiki unaowaona kule maana ipo complicated balaa.
