Hivi Badoo inafanyaje kazi?

Hivi Badoo inafanyaje kazi?

Wabongo kwenye ushauri ni zero kabisa. Unaweza muomba mtu direction ya kwenda posta, jengo fulani yeye akakuuliza unaenda kwa nani katika hilo jengo utadhani inamhusu.


Sasa hapa me nimeomba ushauri wa matumizi ya hii social networking site, sijatumia lugha ya dharau wala matusi, ila tazama michango ya raia wa JF wanavyojibu kwa madharau?!

Anyways haina shida ngoja niwacheki raia wa magharibi (QUORA DIGEST) wanisaidie sababu hapa naona m'meninanga tu.....
Achana nao hao mafala


Ni hivi iko kama mtandao wa kawaida mfano kama Facebook app,jamiiforums nk ila tofaut yake unaweza weka setting ya kupata au kuwaona watu online waliokaribu na wewe

Ni simple we I download tu maelekezo mengine ni marahisi
 
Achana nao hao mafala


Ni hivi iko kama mtandao wa kawaida mfano kama Facebook app,jamiiforums nk ila tofaut yake unaweza weka setting ya kupata au kuwaona watu online waliokaribu na wewe

Ni simple we I download tu maelekezo mengine ni marahisi
Shida ni namna ya kuwasiliana na hao watu. Yaani ipo so complicated me hadi inaniboa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom