Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,905
- 33,478
Bavicha ukiwaambia walete picha kama hizi wanakutukana matusi ya nguoni kabisaSasa unadhani maccm hayajui kama hayapendwi? Unadhani kwanini hayataki tume huru au kura kuhesabiwa hadharani kama yanadhani huyo anayejiita KICHAA ana kura za kutosha!?
Unategemea kuyakuta maccm kwenye kampeni za Chadema? Labda kwa nia ya kufanya UHALIFU.