Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Habarini.
Kweli kabisa yaani mgombea akijaza nyomi kwenye mkutano wake wa kampeni kwenye chama fulani cha siasa inaashiria ushindi????
Imani gani hizi. Nimekua nafuatilia sana hapa jukwaani kila mtu anaulizia nyomi vipi huko. Tumeni picha. Sijui tunataka aerial view.
Yaani mmeyasahau yale ya Lowasa kujaza na kuambulia kuanguka.
Watu wanajazana kwa mambo mengi sana
1)kwenda kumuona mgombea live bila chenga
2) Kama kuna wasanii wanatumbuiza baasi kwenda kuburudika
3)Kwenda kupunguza stress za maisha.
4) Mtu hana kazi ya kufanya anaamua akajichanganye tu. Akija ccm anaenda, chadema anaenda. Hili kundi kubwa sana. Ajira ni shida kwa sasa.
5) kazini kwake kapewa ki memo lazima aende asipoenda hatua kali za nidhamu dhidi yake zita hukuliwa.
6)Kampeni ni tukio la historia mtu anataka aende akajionee. Miaka 5 ijayo hajui atakua wapi. Labda akhera.
7)Wachache sana wanaenda kusikiliza sera za mgombea na kuamua nani wa kumpa. Hawa ndio walitakiwa wawe wengi lkn ni kinyume.
8)..........
Kwanza ieleweke wengi wanaoenda kwenye hii mikutano unakuta hata hawatapiga kura kwa kutokua na kadi ya mpiga kura ama kutofikisha umri.
Hivyo wakuu wa vyama vyote hem tuache kujifariji na haya manyomi tusije tukaja kufa kwa pressure buureee.
Kweli kabisa yaani mgombea akijaza nyomi kwenye mkutano wake wa kampeni kwenye chama fulani cha siasa inaashiria ushindi????
Imani gani hizi. Nimekua nafuatilia sana hapa jukwaani kila mtu anaulizia nyomi vipi huko. Tumeni picha. Sijui tunataka aerial view.
Yaani mmeyasahau yale ya Lowasa kujaza na kuambulia kuanguka.
Watu wanajazana kwa mambo mengi sana
1)kwenda kumuona mgombea live bila chenga
2) Kama kuna wasanii wanatumbuiza baasi kwenda kuburudika
3)Kwenda kupunguza stress za maisha.
4) Mtu hana kazi ya kufanya anaamua akajichanganye tu. Akija ccm anaenda, chadema anaenda. Hili kundi kubwa sana. Ajira ni shida kwa sasa.
5) kazini kwake kapewa ki memo lazima aende asipoenda hatua kali za nidhamu dhidi yake zita hukuliwa.
6)Kampeni ni tukio la historia mtu anataka aende akajionee. Miaka 5 ijayo hajui atakua wapi. Labda akhera.
7)Wachache sana wanaenda kusikiliza sera za mgombea na kuamua nani wa kumpa. Hawa ndio walitakiwa wawe wengi lkn ni kinyume.
8)..........
Kwanza ieleweke wengi wanaoenda kwenye hii mikutano unakuta hata hawatapiga kura kwa kutokua na kadi ya mpiga kura ama kutofikisha umri.
Hivyo wakuu wa vyama vyote hem tuache kujifariji na haya manyomi tusije tukaja kufa kwa pressure buureee.