Baba yake Nape alikuwa NnauyeeeKwa wanamfahanu naomba kujulishwa kwa maana nimemsikia Nape akitamba na Baba yake, hivi ni nani hiyo babake?
Namfahamu Mussa...Kwa wanamfahanu naomba kujulishwa kwa maana nimemsikia Nape akitamba na Baba yake, hivi ni nani hiyo babake?
YeahMi najua alikuwa mwanajeshi na mwanaccm mtiifu pia alikuwa mwimbaji na mpiga vyombo vya mziki Kwa mujibu wa nape
Big NoNgoja nitulie nisikie wenye ujuzi wa mambo haya... LAKINI TU YATOSHA UJUE ALIUAWA KWA KUKATWA KICHWA KATIKA VITA YA IRAQ
Brigedia Generali MOSES NNAUYE......
Nimegundua wengi humu mnajidai ujanja kumbe wa juzi. Mzee Mnauye alutunga nyimbo nyingi na uhamasishaji wakati chama ni serikali na serikali ni chama. Tuliziimba sana shule za msingi enzi hizo . Nafikiri ndiye mtunzi wa Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo woteYeah
Wewe wakubwa hawasemwiMbona nimewah kusikia kuwa baba halisi wa Mh. Nape ni mzee Mark Mwandosya?
Hapa kwa wimbo wa taifa ni matango poriAlikuwa mwanapropaganda wa chama cha mapinduzi
Ndiye aliyetunga wimbo wa taiga
Mungu ibariki Tanzania..........