jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Wanajamvi, kama heading inavyojieleza, nimejaribu ku google sijaona. Nimeamua niulize humu ndani endapo kuna yeyote anayefahamu kama niliowataja hapo juu, wameshawahi kuandika vitabu au hata kitabu na vikawa published? Ningependa kufahamu. Na kama hawana, napenda kuchukuwa nafasi hii kuwaomba waandike vitabu kwasababu maisha yenyewe haya ni ya kupita, lakini knowledge will survive!
Nafahamu wengine labda wanaona kuwa makala zao mbali mbali zinatosha kutokana na falsafa za hali ya juu. Lakini kama wana uwezo na nafasi ya kuandika
Nafahamu wengine labda wanaona kuwa makala zao mbali mbali zinatosha kutokana na falsafa za hali ya juu. Lakini kama wana uwezo na nafasi ya kuandika